Logo

Webible

//
32. Basi, walikuwa njiani kwenda Yerusa...

Marko

Kapitola 10 : Verš 32

32 / 52

Basi, walikuwa njiani kwenda Yerusalemu, na Yesu alikuwa anawatangulia. Wanafunzi wake walijawa na hofu, na watu waliofuata waliogopa. Yesu akawachukua tena kando wale kumi na wawili, akaanza kuwaambia yale yatakayompata: