Kapitola 12 : Verš 26
Lakini kuhusu kufufuliwa kwa wafu, je, hamjasoma kitabu cha Mose katika sehemu inayohusu kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto? Mungu alimwambia Mose, <FO>Mimi ni Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo.<Fo>