Logo

Webible

//
27. "Hakuna mtu awezaye kuivamia nyumba...

Marko

Kapitola 3 : Verš 27

27 / 35

"Hakuna mtu awezaye kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kumnyang'anya mali yake, isipokuwa kwanza amemfunga huyo mtu mwenye nguvu; hapo ndipo atakapoweza kumnyang'anya mali yake.