Logo

Webible

//
31. Yesu alianza kuwafundisha wanafunzi...

Marko

Kapitola 8 : Verš 31

31 / 38

Yesu alianza kuwafundisha wanafunzi wake: "Ni lazima Mwana wa Mtu apatwe na mateso mengi na kukataliwa na wazee na makuhani wakuu na walimu wa Sheria. Atauawa na baada ya siku tatu atafufuka."