Logo

Webible

//
42. "Mtu yeyote atakayemfanya mmoja wa ...

Marko

Kapitola 9 : Verš 42

42 / 50

"Mtu yeyote atakayemfanya mmoja wa hawa wadogo wanaoniamini atende dhambi, ingekuwa afadhali kwa mtu huyo kufungiwa shingoni mwake jiwe kubwa la kusagia na kutupwa baharini.