Logo

Webible

//
27. Lakini kusudi tusiwakwaze, nenda zi...

Mathayo

Kapitola 17 : Verš 27

27 / 27

Lakini kusudi tusiwakwaze, nenda ziwani ukatupe ndoana; chukua samaki wa kwanza atakayenaswa, fungua kinywa chake, na ndani utakuta fedha taslimu ya zaka. Ichukue ukawape kwa ajili yangu na kwa ajili yako."