Logo

Webible

//
16. Basi, wakawatuma wafuasi wao pamoja...

Mathayo

Kapitola 22 : Verš 16

16 / 46

Basi, wakawatuma wafuasi wao pamoja na wafuasi wa kikundi cha Herode. Wakamwuliza, "Mwalimu, tunajua kwamba wewe ni mtu mwaminifu, na kwamba wafundisha njia ya Mungu kwa uaminifu; humwogopi mtu yeyote, maana cheo cha mtu si kitu kwako.