Logo

Webible

//
27. "Ole wenu walimu wa Sheria na Mafar...

Mathayo

Kapitola 23 : Verš 27

27 / 39

"Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mko kama makaburi yaliyopakwa chokaa ambayo kwa nje yanaonekana kuwa mazuri, lakini ndani yamejaa mifupa ya maiti na kila namna ya uchafu.