Kapitel 13 : Vers 25
"Wakati utakuja ambapo mwenye nyumba atainuka na kufunga mlango. Ninyi mtasimama nje na kuanza kupiga hodi mkisema: <FO>Bwana, tufungulie mlango.<Fo> Lakini yeye atawajibu: <FO>Sijui mmetoka wapi.<Fo>