Logo

Webible

//
12. Ikawa, Yesu alipokuwa katika mmojaw...

Luka

Kapitel 5 : Vers 12

12 / 39

Ikawa, Yesu alipokuwa katika mmojawapo wa miji ya huko, mtu mmoja mwenye ukoma mwili mzima akamwona. Basi, mtu huyo akaanguka kifudifudi akamwomba Yesu: "Mheshimiwa, ukitaka, waweza kunitakasa."