Logo

Webible

//
43. Yesu alipokuwa bado anasema, Yuda, ...

Marko

Kapitel 14 : Vers 43

43 / 72

Yesu alipokuwa bado anasema, Yuda, mmoja wa wale kumi na wawili, akafika pamoja na umati wa watu wenye mapanga na marungu. Watu hao walikuwa wametumwa na makuhani wakuu, walimu wa Sheria na wazee.