Logo

Webible

//
14. Mwishowe, Yesu aliwatokea wanafunzi...

Marko

Kapitel 16 : Vers 14

14 / 20

Mwishowe, Yesu aliwatokea wanafunzi kumi na mmoja walipokuwa pamoja mezani. Akawakemea sana kwa sababu ya kutoamini kwao na ukaidi wao, maana hawakuwaamini wale waliokuwa wamemwona baada ya kufufuka.