Logo

Webible

//
30. Kesho yake, mkuu wa jeshi alitaka k...

Matendo

Kapitel 22 : Vers 30

30 / 30

Kesho yake, mkuu wa jeshi alitaka kujua mashtaka kamili ambayo Wayahudi walikuwa wamemwekea Paulo. Hivyo, alimfungua Paulo minyororo, akaamuru makuhani wakuu na Baraza lote wafanye kikao. Kisha alimleta Paulo, akamsimamisha mbele ya Baraza.