Logo

Webible

//
7. Basi, hao wajumbe wa Yohane walipok...

Mathayo

Kapitel 11 : Vers 7

7 / 30

Basi, hao wajumbe wa Yohane walipokuwa wanakwenda zao, Yesu alianza kuyaambia makundi ya watu habari za Yohane: "Mlikwenda kutazama nini kule jangwani? Je, mlitaka kuona mwanzi unaotikiswa na upepo?