Logo

Webible

//
32. Maana Yohane alikuja kwenu akawaony...

Mathayo

Kapitel 21 : Vers 32

32 / 46

Maana Yohane alikuja kwenu akawaonyesha njia njema ya kuishi, nanyi hamkumwamini; lakini watoza ushuru na waasherati walimwamini. Hata baada ya kuona hayo yote ninyi hamkubadili mioyo yenu, na hamkusadiki."