Logo

Webible

//
8. Mwenye kipaji cha kuwafariji wengin...

Warumi

Kapitel 12 : Vers 8

8 / 21

Mwenye kipaji cha kuwafariji wengine na afanye hivyo. Mwenye kumgawia mwenzake alicho nacho na afanye hivyo kwa ukarimu. Msimamizi na asimamie kwa bidii; naye mwenye kutenda jambo la huruma na afanye hivyo kwa furaha.