Logo

Webible

//
13. Wala msitoe hata sehemu moja ya mii...

Warumi

Kapitel 6 : Vers 13

13 / 23

Wala msitoe hata sehemu moja ya miili yenu iwe chombo cha kutenda uovu na dhambi. Badala yake, jitoleeni ninyi wenyewe kwa Mungu kama watu waliofufuliwa kutoka wafu; toeni nafsi zenu zote kwa Mungu kwa ajili ya uadilifu.