Logo

Webible

//
34. Ni nani atakayewahukumu? Hakuna! Ma...

Warumi

Kapitel 8 : Vers 34

34 / 39

Ni nani atakayewahukumu? Hakuna! Maana Kristo ndiye aliyekufa, tena alifufuka kutoka wafu na anakaa upande wa kulia wa Mungu. Yeye anatuombea!