Logo

Webible

//
21. Saa ileile, Yesu akafurahi kwa uwez...

Luka

Kapitel 10 : Vers 21

21 / 42

Saa ileile, Yesu akafurahi kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, akasema, "Nakushukuru ee Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa kuwa umewaficha wenye hekima na elimu mambo haya, ukawafumbulia wadogo. Naam, Baba, ndivyo ilivyokupendeza."