Logo

Webible

//
1. Wakati watu kwa maelfu walipokuwa w...

Luka

Kapitel 12 : Vers 1

1 / 59

Wakati watu kwa maelfu walipokuwa wamekusanyika hata wakawa wanakanyagana, Yesu aliwaambia kwanza wanafunzi wake, "Jihadharini na chachu ya Mafarisayo, yaani unafiki.