Kapitel 14 : Vers 10
Bali ukialikwa kwenye karamu, keti mahali pa mwisho, ili mwenyeji wako atakapokuja akwambie: <FO>Rafiki, njoo hapa mbele, mahali pazuri zaidi.<Fo> Hapo utakuwa umeheshimika mbele ya wote wanaoketi pamoja nawe.