Logo

Webible

//
14. Basi, mfalme Herode alisikia juu ya...

Marko

Kapitel 6 : Vers 14

14 / 56

Basi, mfalme Herode alisikia juu ya hayo yote, maana sifa za Yesu zilienea kila mahali. Baadhi ya watu walikuwa wakisema, "Yohane Mbatizaji amefufuka kutoka wafu, ndiyo maana nguvu za miujiza zinafanya kazi ndani yake."