Logo

Webible

//
14. Lakini mkuu wa sunagogi alikasirika...

Luka

Κεφάλαιο 13 : Εδάφιο 14

14 / 35

Lakini mkuu wa sunagogi alikasirika kwa sababu Yesu alikuwa amemponya siku ya Sabato. Hivyo akawaambia wale watu walikusanyika pale, "Mnazo siku sita za kufanya kazi. Basi, fikeni siku hizo mkaponywe magonjwa yenu; lakini msije siku ya Sabato."