Logo

Webible

//
13. Tena tunayo sababu nyingine ya kums...

1 Wathesalonike

Chapter 2 : Verse 13

13 / 20

Tena tunayo sababu nyingine ya kumshukuru Mungu: tulipowaleteeni ujumbe wa Mungu, ninyi mliusikia mkaupokea, si kama vile ujumbe wa binadamu, bali kama ujumbe wa Mungu, na kweli ndivyo ulivyo. Maana Mungu anafanya kazi ndani yenu ninyi mnaoamini.

1 Wathesalonike 2:13