Chapter 16 : Verse 7
Kisha akamwuliza mdeni mwingine: <FO>Wewe unadaiwa kiasi gani?<Fo> Yeye akamjibu: <FO>Magunia mia ya ngano.<Fo> Yule karani akamwambia: <FO>Chukua hati yako ya deni, andika themanini.<Fo>