Logo

Webible

//
24. Wale wanafunzi wakamwendea Yesu, wa...

Luka

Chapter 8 : Verse 24

24 / 56

Wale wanafunzi wakamwendea Yesu, wakamwamsha wakisema, "Bwana, Bwana! Tunaangamia!" Yesu akaamka, akaikemea dhoruba na mawimbi, navyo vikatulia, kukawa shwari.