Logo

Webible

//
27. Alipokuwa anashuka pwani, mtu mmoja...

Luka

Chapter 8 : Verse 27

27 / 56

Alipokuwa anashuka pwani, mtu mmoja aliyekuwa amepagawa na pepo alimjia kutoka mjini. Kwa muda mrefu mtu huyo, hakuwa anavaa nguo, wala hakuwa anaishi nyumbani bali makaburini.