Logo

Webible

//
32. Basi, Yesu aliwaita wanafunzi wake,...

Mathayo

Chapter 15 : Verse 32

32 / 39

Basi, Yesu aliwaita wanafunzi wake, akasema, "Nawaonea watu hawa huruma kwa sababu kwa siku tatu wamekuwa nami, wala hawana chakula. Sipendi kuwaacha waende bila kula wasije wakazimia njiani."