Logo

Webible

//
21. Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaj...

Mathayo

Chapter 16 : Verse 21

21 / 28

Tangu wakati huo Yesu alianza kuwajulisha waziwazi wanafunzi wake: "Ni lazima mimi niende Yerusalemu, na huko nikapate mateso mengi yatakayosababishwa na wazee, makuhani wakuu na walimu wa Sheria. Nitauawa, na siku ya tatu nitafufuliwa."