Logo

Webible

//
25. Petro akajibu, "Naam, hulipa." Basi...

Mathayo

Chapter 17 : Verse 25

25 / 27

Petro akajibu, "Naam, hulipa." Basi, Petro alipoingia ndani ya nyumba, kabla hata hajasema neno, Yesu akamwuliza, "Simoni, wewe unaonaje? Wafalme wa dunia hukusanya ushuru au kodi kutoka kwa kina nani? Kutoka kwa wananchi ama kutoka kwa wageni?"