Logo

Webible

//
8. "Kama mkono au mguu wako ukikukoses...

Mathayo

Chapter 18 : Verse 8

8 / 35

"Kama mkono au mguu wako ukikukosesha, ukate na kuutupa mbali nawe. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima bila mkono au mguu, kuliko kutupwa katika moto wa milele ukiwa na mikono miwili na miguu yako miwili.