Logo

Webible

//
24. Habari zake zikaenea katika mkoa wo...

Mathayo

Chapter 4 : Verse 24

24 / 25

Habari zake zikaenea katika mkoa wote wa Siria. Wagonjwa wote wenye maradhi ya kila namna na wale waliosumbuliwa na kila namna ya taabu: waliopagawa na pepo, wenye kifafa na watu waliokuwa wamelemaa, walipelekwa kwake; naye akawaponya wote.