Chapter 5 : Verse 22
Lakini mimi nawaambieni, yeyote anayemkasirikia ndugu yake, lazima ahukumiwe. Anayemdharau ndugu yake atapelekwa mahakamani. Anayemwita ndugu yake: <FO>Pumbavu<Fo> atastahili kuingia katika moto wa Jehanamu.