Logo

Webible

//
18. ili mtu yeyote asijue kwamba unafun...

Mathayo

Chapter 6 : Verse 18

18 / 34

ili mtu yeyote asijue kwamba unafunga, ila ujulikane tu kwa Baba yako asiyeonekana. Naye Baba yako aonaye yaliyofichika atakutuza.