Logo

Webible

//
25. "Ndiyo maana nawaambieni, msiwe na ...

Mathayo

Chapter 6 : Verse 25

25 / 34

"Ndiyo maana nawaambieni, msiwe na wasiwasi juu ya chakula na kinywaji mnavyohitaji ili kuishi, wala juu ya mavazi mnayohitaji kwa ajili ya miili yenu. Je, maisha ni chakula tu au zaidi? Na mwili, je, si zaidi ya mavazi?