Logo

Webible

//
16. Ilipokuwa jioni, walimletea watu we...

Mathayo

Chapter 8 : Verse 16

16 / 34

Ilipokuwa jioni, walimletea watu wengi waliokuwa wamepagawa na pepo; naye, kwa kusema neno tu, akawafukuza hao pepo. Aliwaponya pia watu wote waliokuwa wagonjwa.