Logo

Webible

//
28. Yesu alifika katika nchi ya Wageras...

Mathayo

Chapter 8 : Verse 28

28 / 34

Yesu alifika katika nchi ya Wagerasi, ng'ambo ya ziwa, na huko watu wawili waliopagawa na pepo wakakutana naye wakitokea makaburini. Watu hawa walikuwa wenye kutisha mno, hata hakuna mtu aliyethubutu kupita katika njia hiyo.