Logo

Webible

//
17. Wala hakuna mtu awekaye divai mpya ...

Mathayo

Chapter 9 : Verse 17

17 / 38

Wala hakuna mtu awekaye divai mpya katika viriba vikuukuu. Akifanya hivyo, viriba hupasuka na divai ikamwagika, navyo viriba vikaharibika. Ila divai mpya hutiwa katika viriba vipya, na vyote viwili, viriba na divai, vikahifadhiwa salama."