Logo

Webible

//
16. Kisha yule mtu aliyepagawa aliwaruk...

Matendo

Chapter 19 : Verse 16

16 / 41

Kisha yule mtu aliyepagawa aliwarukia wote kwa kishindo, akawashinda nguvu. Na hao watoto wa Skewa wakakimbia kutoka ile nyumba wakiwa uchi na wamejaa majeraha.