Logo

Webible

//
1. Saulo naye alikiona kitendo hicho c...

Matendo

Chapter 8 : Verse 1

1 / 40

Saulo naye alikiona kitendo hicho cha kumwua Stefano kuwa sawa. Siku hiyo kanisa la Yerusalemu lilianza kuteswa vibaya. Waumini wote, isipokuwa tu wale mitume, walilazimika kutawanyika katika sehemu za mashambani za Yudea na Samaria.