Logo

Webible

//
9. Kwa sababu hiyo tumekuwa tukiwaombe...

Wakolosai

Chapter 1 : Verse 9

9 / 29

Kwa sababu hiyo tumekuwa tukiwaombeeni daima tangu tulipopata habari zenu. Tunamwomba Mungu awajazeni ujuzi kamili wa mapenzi yake, awajazeni hekima yote na elimu iletwayo na Roho wake.

Wakolosai 1:9