Logo

Webible

//
38. Wapeni wengine wanavyohitaji, nanyi...

Luka

Chapitre 6 : Verset 38

38 / 49

Wapeni wengine wanavyohitaji, nanyi mtapewa. Naam, mtapokea mikononi mwenu kipimo kilichojaa, kikashindiliwa na kusukwasukwa hata kumwagika. Kwa maana kipimo kilekile mnachotumia kwa wengine ndicho ambacho Mungu atatumia kwenu."