Logo

Webible

//
20. Waliposikia hayo, walimtukuza Mungu...

Matendo

Capitolo 21 : Versetto 20

20 / 40

Waliposikia hayo, walimtukuza Mungu. Kisha wakamwambia Paulo, "Ndugu, unaweza kuona kwamba kuna maelfu ya Wayahudi ambao sasa wamekuwa waumini na wote hao wanashika kwa makini Sheria ya Mose.