Logo

Webible

//
24. Mkuu wa jeshi aliwaamuru watu wake ...

Matendo

Capitolo 22 : Versetto 24

24 / 30

Mkuu wa jeshi aliwaamuru watu wake wampeleke Paulo ndani ya ngome, akawaambia wamchape viboko ili wapate kujua kisa cha Wayahudi kumpigia kelele.