"Huyu Mose ndiye yule watu wa Israeli waliyemkataa waliposema: <FO>Ni nani aliyekuweka wewe kuwa kiongozi na mwamuzi wetu?<Fo> Kwa njia ya yule malaika aliyemtokea katika kichaka kilichokuwa kinawaka moto, Mungu alimtuma Mose huyo awe kiongozi na mkombozi.