Поглавље 28 : Стих 4
Wenyeji wa pale walipokiona kile kiumbe kinaning'inia kwenye mkono wake waliambiana, "Bila shaka mtu huyu amekwisha ua mtu, na ingawa ameokoka kuangamia baharini, <FO>Haki<Fo> haitamwacha aendelee kuishi!"