Logo

Webible

//
6. Wale watu walikuwa wakitazamia kwam...

Matendo

Поглавље 28 : Стих 6

6 / 31

Wale watu walikuwa wakitazamia kwamba angevimba au hapohapo angeanguka chini na kufa. Baada ya kungojea kwa muda mrefu bila kuona kwamba Paulo amepatwa na jambo lolote lisilo la kawaida, walibadilisha fikira zao juu yake, wakasema kuwa ni mungu.