Logo

Webible

//
31. Je, ni nani kati ya hawa wawili ali...

Mathayo

Поглавље 21 : Стих 31

31 / 46

Je, ni nani kati ya hawa wawili aliyetimiza matakwa ya baba yake?" Wakamjibu, "Yule mtoto wa kwanza." Basi, Yesu akawaambia, "Kweli nawaambieni, watoza ushuru na waasherati wataingia katika Ufalme wa Mungu kabla yenu.