Logo

Webible

//
15. Baadaye, Yesu alikuwa amekaa mezani...

Marko

Kapitel 2 : Vers 15

15 / 28

Baadaye, Yesu alikuwa amekaa mezani, nyumbani kwa Lawi, kula chakula. Watoza ushuru wengi na wenye dhambi walikuwa wamemfuata Yesu na wengi wao wakawa wamekaa mezani pamoja naye na wanafunzi wake.