Logo

Webible

//
13. Baada ya wale wageni kuondoka, mala...

Mathayo

Kapitel 2 : Vers 13

13 / 23

Baada ya wale wageni kuondoka, malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto, akamwambia, "Amka! Mchukue mtoto pamoja na mama yake, mkimbilie Misri. Kaeni huko mpaka nitakapokwambia, maana Herode anakusudia kumwua huyu mtoto."